Ivory Coast imepata sare ya moja kwa moja dhidi ya Guinea katika kombe la mataifa ya Afrika baada ya Guinea kuwa wa kwanza kupata bao licha ya mshambuliaji Gervinho kupewa kadi nyekundu.
Aliyekuwa mshambuliaji wa Arsenal Gervinho ambaye mkwaju wake ulipiga mwamba wa goli la Guinea katika kipindi cha kwanza alipewa kadi nyekundu na hivyobasi kutoka nje katika dakika ya 58.
0 comments:
Post a Comment