Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Wednesday, January 21, 2015

IVORY COAST WASHIDWA KUTAMBA MBELE YA GUINEA


ivory Coast
   
Ivory Coast imepata sare ya moja kwa moja dhidi ya Guinea katika kombe la mataifa ya Afrika baada ya Guinea kuwa wa kwanza kupata bao licha ya mshambuliaji Gervinho kupewa kadi nyekundu.

Guinea ilichukua uongozi kunako dakika ya 36 baada ya Mohammed Yattara kucheka na wavu.
Aliyekuwa mshambuliaji wa Arsenal Gervinho ambaye mkwaju wake ulipiga mwamba wa goli la Guinea katika kipindi cha kwanza alipewa kadi nyekundu na hivyobasi kutoka nje katika dakika ya 58.


Mcheza Traore wa Guinea karibia apate bao la pili wakati kombora lake lilipogonga mwamba wa goli,lakini IvorY Coast ilijiokoa baada ya Seydou Doumbia Kufunga katika eneo la hatari.

Related Posts:

0 comments: