Interview ya Chris Brown aliyofanya na kipindi cha ‘Ebro in the Morning’
kupitia Hot 97 hivi karibuni ilifungua mambo mengi kuhusu masha yake,
mahusiano yake, na muziki wake pia

Upande wa muziki Breezy alitaja viwango anavyotoza wasanii wanaotaka kumshirikisha kwenye nyimbo zao
BREEZY amesema kiwango anachotoza mara nyingi kwa wasanii wanaotaka kumshirikisha ni kama $250,000 ambayo ni sawa na zaidi ya Tsh milioni 426.
“It depends. Some people I give a homie price to… The most I charge is like $250,000… If the song’s already a hit, then I’ll get on it. But I’m still gonna take some publishing…and if they say they can only give you $30,000, I need 50 percent of the publishing. ‘Cause I’m gonna get on the record, not to toot my own horn…
Upande wa muziki Breezy alitaja viwango anavyotoza wasanii wanaotaka kumshirikisha kwenye nyimbo zao
BREEZY amesema kiwango anachotoza mara nyingi kwa wasanii wanaotaka kumshirikisha ni kama $250,000 ambayo ni sawa na zaidi ya Tsh milioni 426.
“It depends. Some people I give a homie price to… The most I charge is like $250,000… If the song’s already a hit, then I’ll get on it. But I’m still gonna take some publishing…and if they say they can only give you $30,000, I need 50 percent of the publishing. ‘Cause I’m gonna get on the record, not to toot my own horn…
0 comments:
Post a Comment