WAzungu wanasema ni vizuri kutumaini mema na kujiandaa kwa mabaya. Kama
mambo yataenda vile ambavyo yanaenda sasa, huenda Idris akarudi na
$300,000 za Big Brother Africa
Mpiga picha huyo amegeuka kuwa si tu kipenzi cha wasichana, bali cha
mashabiki wengi wa shindano hilo. Kikubwa anachopendewa ni ule uwezo wa
kuweza kuwa rafiki wa kila housemate.
CHECK me!!!!

Wednesday, November 5, 2014
BBAHOTSHOTS:MWAKILISHI WA TANZANIA IDRIS ATABIRIWA USHINDI_Ageuka kipenzi cha walimbwende
Author: AMMY YEYOO
9:13:00 AM
Related Posts:
NEW MUSIC:CHIBAU FT STAMINA&BEKA TYTO_NAONGEA NA WEWE … Read More
WAFAHAMU WATANZANIA WANNE WENYE FEDHA HADI WANAUMWA__NI NOMAA … Read More
JE UNAFAHAMU kuwa Ludacriss alifunga ndoa mwaka jana na mpenzi wake mwenye asili ya GABON? KATIKA acconti yake ya FB,LUDACRISS ambaye jina lake halisi ni Christopher Brian Bridges (aliyezaliwa sept 11, 1977), kaandika..Why wait? Did the thing before 2015. #mrandmrsbri… Read More
MAKALA:FAHAMU MWANAUME AU MWANAMKE ALIYEUMBWA KUISHI KATIKA NDOA SALAMU zangu za heri ya mwaka mpya wa 2015 ziende kwa kila msomaji wa safu hii ya maisha. Katika mada yangu ya leo, nimeanza na kichwa cha habari chenye swali. Lakin… Read More
WANASEMA SANAA HAIPI?hebu cheki masanja akiwa kwenye mjengo wake wa ghorofa … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment