ELIZABERTH
Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa wasanii wa kike wa filamu wana biashara nyingine
iliyojificha ndani ya ile ya filamu ambayo inawalipa zaidi.
Lulu amepasua kuwa wasanii hao wanawategemea mapedejee kuendesha maisha yao huku wengi wakiamini kwamba mabinti hao wa Bongo Movie wanalipwa vizuri kutokana na filamu wanazoigiza.
Msicha huyo mwenye umbo matata linalowatoa udenda midume na ambaye alishawahi kusema hana Time na wanaume amesema “Ukweli hauko hivyo, hali hii inatokana na wengi wetu kudumaa na hatuwazi kufanya mambo makubwa kwa kuigiza na wasanii wakubwa lakini hakuna anayeliona hili,” alifafanua.
“Hakuna anayefirikiria kuigiza na wasanii wa kimataifa kama Ritha Dominic ili sanaa imlipe na wengi wanawategemee mapedejee au biashara zisizo rasmi, kwani filamu inaonekana ipo juu lakini wahusika wake wanalipwa kwa staili nyingine kabisa,” alisema.
Lulu amepasua kuwa wasanii hao wanawategemea mapedejee kuendesha maisha yao huku wengi wakiamini kwamba mabinti hao wa Bongo Movie wanalipwa vizuri kutokana na filamu wanazoigiza.
Msicha huyo mwenye umbo matata linalowatoa udenda midume na ambaye alishawahi kusema hana Time na wanaume amesema “Ukweli hauko hivyo, hali hii inatokana na wengi wetu kudumaa na hatuwazi kufanya mambo makubwa kwa kuigiza na wasanii wakubwa lakini hakuna anayeliona hili,” alifafanua.
“Hakuna anayefirikiria kuigiza na wasanii wa kimataifa kama Ritha Dominic ili sanaa imlipe na wengi wanawategemee mapedejee au biashara zisizo rasmi, kwani filamu inaonekana ipo juu lakini wahusika wake wanalipwa kwa staili nyingine kabisa,” alisema.
ELIZABERTH Michael
‘Lulu’ amefunguka kuwa wasanii wa kike wa filamu wana biashara nyingine
iliyojificha ndani ya ile ya filamu ambayo inawalipa zaidi.
Lulu amepasua kuwa wasanii hao wanawategemea mapedejee kuendesha maisha
yao huku wengi wakiamini kwamba mabinti hao wa Bongo Movie wanalipwa
vizuri kutokana na filamu wanazoigiza.
“Ukweli hauko hivyo, hali hii inatokana na wengi wetu kudumaa na
hatuwazi kufanya mambo makubwa kwa kuigiza na wasanii wakubwa lakini
hakuna anayeliona hili,” alifafanua.
“Hakuna anayefirikiria kuigiza na wasanii wa kimataifa kama Ritha
Dominic ili sanaa imlipe na wengi wanawategemee mapedejee au biashara
zisizo rasmi, kwani filamu inaonekana ipo juu lakini wahusika wake
wanalipwa kwa staili nyingine kabisa,” alisema.
#Mwanaspoti
Copy and WIN : http://bit.ly/copy_win
Copy and WIN : http://bit.ly/copy_win
0 comments:
Post a Comment