Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Sunday, June 12, 2016

Chris Brown chini ya ulinzi tena.

Chris Brown amekamatwa akiwa anaendesha pikipiki isiyokuwa na Plate number huko Amsterdam na kuweza kujichomoa kutoka kwenye tatizo hilo.
Tmz imeripoti kuwa Chris Brown alikuwa kwenye hali mbaya wakati anakamatwa sababu alikuwa ametoka kuvuta Marijuana na alikuwa amelewa.
Imegundulika kuwa askari waliomkamata hawakujua ni mtu maarufu sana na walikubali kupotezea kosa hilo mpaka baadae walipojikuta wamezungukwa na wapiga picha.
Chris Brown alipewa ticket ya kosa hilo na kupelekwa kwenye kituo cha polisi kulipa faini.
394 3
394 2 394


0 comments: