
Hali
ya mgomo huo, umepelekea adha kubwa kwa abiria wa vyombo hivyo, hasa
wale waliokuwa wakielekea mikoani, pamoja na watu wenye magari yao kwani
baadhi ya maeneo kama tegeta watu wa magari binafsi wamelazimishwa
kupandisha abiria tena bure.
hali hii imesababisha abiria wengi wa daladala kutembea kwa miguu katika jiji la dar es salaam.
0 comments:
Post a Comment