Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Monday, May 4, 2015

NI MGOMO WA MABASI TENA LEO



Madereva wa Vyombo vya Usafirishaji katika maeneo mbalimbali  nchini, wameingia katika Mgomo tena leo kutotoa huduma hiyo kwa kile kinachodaiwa kwamba waitaka serukali iwasikilize madai ya mikataba yao kati yao ma waajiri.

Hali ya mgomo huo, umepelekea adha kubwa kwa abiria wa vyombo hivyo, hasa wale waliokuwa wakielekea mikoani, pamoja na watu wenye magari yao kwani baadhi ya maeneo kama tegeta watu wa magari binafsi wamelazimishwa kupandisha abiria tena bure.
hali hii imesababisha abiria wengi wa daladala kutembea kwa miguu katika jiji la dar es salaam.

Related Posts:

0 comments: