BAO LA KWANZA la YANGA limefungwa na Msuva a kwa kichwa baada ya kuunganisha krosi safi ya Niyonzima
BAO LA TATU LA TATU KWA YANGA LILIFUNGWA Dk 45, ambapo Msuva anafunga bao la tatu, la pili kwake leo na la 16 kwake msimu huu.
Dk 58, Tambwe aliifungua Yanga bao la nne baada ya mabeki wa Ruvu kujichanganya na yeye anamalizia kwa ufundi mkubwa. Hilo ni bao lake la 11
BAO LA TANO LILIFUNGWA Dk 67 na Sherman ambaye anafunga bao la tano kwa kichwa akiiwahi krosi ya nzuri ya Abdul Juma
0 comments:
Post a Comment