Mbaya zaidi mfanyaji wa tukio hilo anaomba watu fedha_AKISEMA Yeye ni AY...Fundi Frank ni miongoni mwa marafiki wa AY walioombwa fedha na mtu huyo
HIZI NI BAADHI YA TWEET ZA AMBWENE YESSAYA
— Ambwene AY (@AyTanzania) January 12, 2015Niko Kenya line yangu iko off but nashangaa huko Tanzania iko ON na inatumika
— Ambwene AY (@AyTanzania) January 12, 2015Kufuatia tukio hilo, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameziagiza mamlaka husika kufuatilia haraka jambo hilo.
“@Tigo_TZ: @JMakamba @AyTanzania tunalipeleka swala hili kwenye idara husika lifanyiwe uchunguzi.”>>>lipatiwe ufumbuzi.— January Makamba (@JMakamba) January 12, 2015
Huu ni mchezo ambao wengi wanafanyiwa hususani wanaotoka nje ya nchi__take care
0 comments:
Post a Comment