Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Tuesday, November 4, 2014

NOMA:KIMENUKA___first lady Michelle Obama amtimua mume wake ikulu kisa demu







Kwa mujibu wa habari zinazoandikwa kwenye mitandao ya nchini Marekani,
Michelle Obama anadaiwa kumfukuza mumewe Barack Obama nje ya ikulu ya
White House baada ya kudaiwa kumchombeza mwanamke aliyechumbiwa wakati
wakipiga kura huko Chicago hivi karibuni.

Obama Family Official Portrait


Tukio hilo lililomhusisha msichana aitwaye Aia Cooper, liliandikwa sana
na vyombo vya habari kama jambo la utani tu kwakuwa Obama alikuwa
akimtania msichana huyo pamoja na mpenzi wake. CHEK HAPO CHINI JAMAA anavyochombeza











Related Posts:

0 comments: