Kanye West ndiye aliyesababisha ndege iliyokuwa inatoka Paris kwenda Helskini kuchelewa kuondoka.
supastaa huyo alikuwa anasafiri kutoka Paris, Ufaransa kwenda
Helsinki, Finland jana asubuhi na pamoja na kupanda kwenye ndege hiyo
kwa kuchelewa aligoma kuomba radhi kwa kuwachomesha mahindi abiria
wengine.
CHECK me!!!!

Thursday, November 27, 2014
Kanye West aichelewesha ndege kuondoka, agoma kuomba radhi!
Author: AMMY YEYOO
9:51:00 PM
Related Posts:
NEW SONG:SHAA FT REDSAN__NJOO … Read More
FRANSIS CHEKA : Kuokota chupa kunanilipa kuliko masumbwi Bingwa wa zamani wa dunia wa WBF, Francis Cheka ameamua kujikita zaidi kwenye kazi yake ya kuokota chupa ambayo amedai inamwingizia pesa nyingi kuliko ngumi. Cheka akiwa kweny… Read More
NEW REMIX:DIAMOND PLATNUM FT YEMI ALADE__UKIMWONA … Read More
DIDIER DROGBA_BADO AONEKANA KUWA MWIBA MKALI_ THE BLUES. AKIWA na umri wa miaka 36, Didier Drogba ameonyesha bado ni “Special Drog” baada ya kung’ara vilivyo kwenye mechi ya Capital One Cup akichagiza ushindi wa 2-1 kw… Read More
TETESI ZA KUSIMAMISHWA KWA MKALI WA BAND YA MASHUJAA,CHAZ BABA_ ZAZAGAA RAIS wa Mashujaa Band, Chaz Baba wiki iliyopita alichafua hali ya he… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment