Mzee wa miaka 64 aliwafyatulia risasi watu waliokuwa wanahudhuria tamasha ya muziki na kuwaua watu zaidi ya 58. Watu wengine 515 wanauguza majeraha.
Mshambuliaji alijipiga risasi, polisi wanasema.
Kulitokea nini?
Watu takriban 22,000 walikuwa wanahudhuria tamasha ya muziki wa country usiku wa...
Zaidi ya wanawake
50 katia majimbo yaliyo Kaskazini mwa India ya Haryana na Rajasthan
wamesema kuwa wmekatwa nywele zao wakati wakiwa hawana fahamu.
Polis wanajikakamua kutatua visa hivyo ambayo vinawaacha wanawake na mshutuko mkubwa.
"Kulikuwa
na mwanga mkali uliosababisha nipoteze...
Baraza la Mitihani la taifa (Necta) leo limatangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita.
Bofya hapo chini Kuyatazama
1. Matokeo ACSEE
2. Matokeo Ualimu (DSSEE)
3. Matokeo Ualimu ( GATSE)...
BAADA YA MFUNGO WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN,wasanii kibao wanatoa ngoma mpya ili kuendelea kuwapa Ladha mashabiki zao
ila si kila nyimbo itakuwa na viwango bora hivyo kuna zile chache ambazo zinakidhi vigezo na hii ni moja wapo
TOKA kwa msanii wa zouk Bongo Rock D amekuja na hii Tawile
ISKIZE...
Msanii anaiwakilisha Iringa ila kikazi yupo Dsm,anaitwa APPO MUSIC,na hapa kaja na bonge la ngoma linaitwa I'm sorry,ikifanyika studio za ram music kinondoni,producer ni Rambo Boy,Pakua na kuiskiliza hapa bure.
...