
BAADA YA MFUNGO WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN,wasanii kibao wanatoa ngoma mpya ili kuendelea kuwapa Ladha mashabiki zao ila si kila nyimbo itakuwa na viwango bora hivyo kuna zile chache ambazo zinakidhi vigezo na hii ni moja wapo TOKA kwa msanii wa zouk Bongo Rock D amekuja na hii Tawile ISKIZE NA IPAKUE BURE
0 comments:
Post a Comment