Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Wednesday, February 3, 2016

Na ujanja wake wote:Vibaka wamliza Snoop Dogg,wampiga vifaa vyote vya show yake.


snoop-624-1368121236



Rapa Snoop Dogg aliyepangwa kufanya show kwenye shughuli ya Super Bowl 50 anaweza asifanikishe jambo hili baada ya vyombo vyake vya show kuibiwa.
Vibaka wamevunja dirisha la gari aina ya SUV nakuaiba kumpyuta ndogo, mabegi na vifaa anavyotumia Snoop Kwenye show zake.

Snoop Dogg alitakiwa kufanya show San Francisco siku ya Super Bowl 50. 

Show ya kwanza ilipangwa kifanyika Feb 2 2016.

ila Habari nzuri ni kuwa bangi zake hazijaibiwa.
LIKE page yetu,kwa habari zaidi:https://www.facebook.com/Kali-za-dj-yeyo-1517561428544654/

Related Posts:

0 comments: