Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Saturday, January 30, 2016

Beef inaendelea,Wiz Khalifa apayuka F**k Kanye kwenye show yake nchini Argentina.





 k 3
Baada ya Kanye West kusema Wiz Khalifa ameiba style ya kufanya muziki ya msanii wake Kid Cudi na matusi mengine, beef ya maneno makali haijaishia twitter hata baada ya Kanye West kufuta twit zake bado Wiz Khalifa hajamalizana naye.
Rapa Wiz Khalifa amemdiss Kanye West akiwa kwenye show Argentina kwa kupayuka maneno haya “F**k Kanye!”.
Je Wiz Khalifa anahasira kiasi hicho na Kanye West.
k 2

Related Posts:

0 comments: