Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Sunday, June 14, 2015

Picha Kutoka KTMA na washindi waliochukua Tuzo.














































Hii ni orodha nzima ya washindi wa KTMA 2015:
Mtumbuizaji bora wa muziki wa kiume wa mwaka – Alikiba
Mwimbaji bora wa kike Bongo Flava ameshinda – Vanessa Mdee
Msanii bora wa kiume Taarab – Mzee Yusuph
Mwimbaji bora wa kike Taarab – Isha Mashauz
Mwimbaji bora wa kiume bendi – Jose Mara
Wimbo bora wa mwaka wa muziki wa Taarab – Mapenzi Hayana Dhamana – Isha Mashauzi
Wimbo bora wa mwaka – Mwana (Alikiba))
Wimbo bora wa Kiswahili bendi – Walewale (FM Academia)
Wimbo bora wa muziki wa R&B – Sisikii (Jux)
Wimbo bora wa Hip Hop – Kipi Sijasikia (Professor Jay)
Wimbo bora wa Reggae & Dance Hall – Let Them Know (Maua Sama)
Rapper bora wa mwaka, bendi – Ferguson
Msanii bora wa Hip Hop – Joh Makini
Wimbo bora wa Afrika Mashariki – Sura Yako (Sauti Sol)
Mtunzi bora wa mwaka, Taarab – Mzee Yusuph
Mtunzi bora wa mwaka, Bongo Flava – Alikiba
Mtunzi bora wa mwaka, bendi – Jose Mara
Msanii bora chipukizi – Baraka Da Prince
Mtunzi bora wa mwaka Hip Hop – Joh Makini
Bendi bora ya mwaka – FM Academia
Mtayarishaji bora wa nyimbo, Bongo Flava – Nahreel
Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka, Taarab – Enrico
Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka, bendi – Amoroso
Wwimbo bora wenye vionjo vya asili ya Kitanzania – Mrisho Mpoto
Kikundi bora cha mwaka muziki wa Taarab – Jahazi Modern Taarab
Kikundi bora cha mwaka muziki wa Bongo Flava – Yamoto Band

Related Posts:

0 comments: