Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Tuesday, April 14, 2015

CHEK Manny Pacquiao AKIJIFUA kujiweka fit kwa pambano lake na Floyd Mayweather

Manny Pacquiao akijiandaa na pambano lake dhidi ya Floyd Mayweather.
Maandalizi yakiwa yamepamba moto kwenye gym ya masumbwi ya Wild Card iliyopo Los Angeles nchini Marekani.
BONDIA mahiri kutoka Ufilipino, Manny Pacquiao ameendelea kujichua vikali katika gym ya masumbwi ya Wild Card iliyopo Los Angeles nchini Marekani.
Pacquiao anajiandaa na pambano lake kali dhidi ya Floyd Mayweather litakalopigwa Mei 2, mwaka huu katika Ukumbi wa MGM Grand Garden jijini Las Vegas, Marekani.
Pambano hilo linatazamiwa na wadau wa masumbwi kuwa la karne kutokana na umahiri wa mabondia hao wawili.
Pichani juu ni taswira mbalimbali za Manny Pacquiao akiwa mazoezini.

0 comments: