Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Wednesday, March 4, 2015

RONALDO AONYESHA GARI LAKE LA SH MILIONI 890



Cristiano Ronaldo ameamua kuonyesha kwamba kweli soka linamlipa baada ya kutupia mtaoni mmoja wa usafiri anaomiliki aina ya Rolls-Royce Ghost wenye thamani ua pauni 330,000 (zaidi ya Sh milioni 890).


Mshindi huyo mara tatu wa taji la mchezaji bora wa dunia maarufu kama Ballon d'Or, Christiano Ronaldo ameonyesha mbwembwe zake.

0 comments: