Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Tuesday, March 3, 2015

MSIBA:msanii NOORAH afiwa na mke wake_ona picha za harusi zao dah inauma sana




Msanii wa Bongo Fleva Noorah akiwa na mke wake Anna Kingwalu siku ya ndoa yao.
 
Mke wa msanii wa Bongo Fleva Noorah, Anna Kingwalu, amefariki leo nyumbani kwao Morogoro amethibitisha Dark Master.
Noorah na Anna walifunga ndoa Juni 8, 2013 nyumbani kwao Shinyanga.
Mungu ampumzishe kwa amani.
(HABARI: ANDREW CARLOS/GPL)

0 comments: