Kuvunjika kwa show iliyokuwa ikionyeshwa na Nickelodeon show iliyoitwa "Victorious" imekuwa
ikuhusishwa mara kwa mara na star wa show hiyo Victoria Justice kwamba aliiua
baada ya kuamua kufanya tour binafsi hususani za kimuziki.
Kama wewe huifahamu vizuri show hii ya "Victorious" iliwahi kurushwa kupitia was channel ya Nickelodeon toka March 2010 hadi February 2013 na mastaa wakawa ni Victoria Justice na Ariana Grande ... kabla ya kuvunjika
VJ was the star of the show and when it got the ax, the prevailing rumor was that Victoria chose to do a solo tour INSTEAD of a cast tour ... sealing the show's fate.
JANA HUKO LAX Victoria amesema kuwa yeye hakuwa chanzo cha kuvunjika kwa show hiyo na sababu ya show hiyo kuvunjika uongozi unaifahamu vizuri
0 comments:
Post a Comment