Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Thursday, March 6, 2014

CHEKA:kivunja mbavu cha leo

JAMAA alimuaga mkewe mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu mji mwingine, kumbe anataka kwenda kunyoosha mgongo na kisamsing. Mke akamwambia mumewe tupige magoti tusali, wakapiga magoti
MKE: E baba msaidie mume wangu afike salama safari yake
MUME: Emen
MKE: Mpe nguvu katika yote atakayofanya huko
MUME: Emen
MKE: Akitaka kufanya uasherati ashindwe
MUME:............
MKE: Akifanya uasherati apatwe na janga baya
MUME:........
MKE: Yaani akifanya uasherati afie hukohuko
MUME: Maombi gani hayo basi siendi semina furahi wewe

0 comments: