Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Tuesday, November 4, 2014

BAADA YA KUACHANA NA WIZ KHALIFA:HUYU NDIYO MPENZI MPYA WA AMBER ROSE

Amber
Baada ya kutemana na baba watoto wake wiz khalifa ,Amber Rose inaonyesha kapata mwanaume mwingine na imefahamika hivi sasa anatoka na kaka waFrench Montana aitwae Zack.
kulikuwa na tetesi awali kuwa Amber anatoka na  French montana ila kiuhalisia montana na ndugu yake wamekuwa wakionekana pamoja kila sehemu hivyo watu kudhani kuwa Amber anatoka na montana kumbe anatoka na ndugu yake

Wiz khalifa naAmber
Taarifa zaidi zinadai kuwa Amber amekuwa akifanya siri sana katika uhusiano huo ili watu wasimuone ni mwingi wa mambo na pia asimuonesheeWiz Khalifa, dharau  ila wamekuwa wakionekana pamoja sehem mbalimbali za bata

Picha hapo chini inaonyesha french montana akiwa na marafiki zake wa karibu ila Amber na mpenz wake mpya wako ndani


Related Posts:

0 comments: