Muziki,Habari motomoto,MICHEZO,Maajabu,Picha Picha na mambo mengine mengi hapa ndani ya KALI ZA DJ YEYO

nongona

tangazo eligod

tangazo eligod

About the Author

CHECK me!!!!

CHECK me!!!!

Friday, December 29, 2017

NEW SONG:RICH$ CLASSIC _KIUNO


Msanii kutoka Iringa town Rich$ Classic amekuja tena na hii inaitwa "KIUNO" ENJOY KWA KUSIKILIZA NA KUDOWNLOAD

Monday, October 2, 2017

Mauaji Las Vegas: Update kufikia sasa kuhusu shambulio Marekani


Mzee wa miaka 64 aliwafyatulia risasi watu waliokuwa wanahudhuria tamasha ya muziki na kuwaua watu zaidi ya 58. Watu wengine 515 wanauguza majeraha.
Mshambuliaji alijipiga risasi, polisi wanasema.
Kulitokea nini?
Watu takriban 22,000 walikuwa wanahudhuria tamasha ya muziki wa country usiku wa Jumapili katika eneo la wazi karibu na uwanja mdogo wa ndege wa Las Vegas.
Milio ya kwanza ya risasi ilisikika mwendo wa saa nne usiku saa za Las Vegas (05:00 GMT).
Mshambuliaji aliwafyatulia watu risasi kutoka ghorofa ya 32 katika hoteli ya Mandalay Bay na baadaye akajiua kwa kujipiga risasi.
Taarifa za awali zilikuwa zimesema kuwa aliuawa na polisi
Walioshuhudia wanasema mamia ya risasi zilifyatulia na kwamba walisikia milioni ya bunduki za rashasha.
Kuliibuka mtafaruku na watu walikimbia huku na kule uwanjani wakijaribu kujificha.
Polisi wanasema kwamba taarifa kuwa kulikuwa na ufyatuaji wa risasi katika maeneo mengine ya uwanja wa ndege wa Las Vegas zilikuwa za uongo.
Las Vegas crime sceneHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Eneo la mauaji
Image captionEneo la mauaji
Mshukiwa ni nani?
Polisi wamesema wanaamini Stephen Paddock mwenye umri wa miaka 64 ndiye aliyehusika.
Hata hivyo, hawajasema chochote kuhusu nia ya mauaji hayo.
Mkuu wa polisi Joe Lombardo amesema maafisa wa polisi walipata hadi bunduki 10 katika chumba chake.
"Hatujapata maelezo yoyote baada ya uchunguzi au maelezo kumhusu mhusika huyo ambayo ni ya kukera (au kudokeza angetekeleza uhalifu)," Lombardo amesema.
"Jambo pekee tunaloweza kusema ni kwamba alitajwa katika kisa kimoja miaka michache iliyopita na kisa hicho kilishughulikiwa kama kisa cha kawaida katika mfumo wetu wa mahakama."
Maafisa wanaamini amekuwa hotelini humo tangu 28 Septemba.
Kakae Eric Paddock ameambia Reuters kwamba: "Hatuna habari zozote (kuhusu nia). Tumegutuka sana. Tumeshangazwa sana na tunatuma rambirambi zetu kwa jamaa za waathiriwa."
Kundi linalojiita Islamic State limedai kuhusika lakini halitajoa ithibati yoyote.
"Mshambuliaji huyo wa Las Vegas alisilimu miezi michache iliyopita," kundi la Islamic State limesema kupitia taarifa.
Stephen PaddockHaki miliki ya pichaUNDATED IMAGE
Image captionStephen Paddock
Kumetolewa wito wa kutafutwa kwa "mhusika mweingine" kwa jina Marilou Danley, 62, ambaye maafisa wanasema alikuwa anasafiri na mshambuliaji kabla ya kisa hicho kutokea.
Mwanamke huyo anaaminika kuwa alikuwa amesafiri nje ya Marekani.
Polisi wakiwa nje ya hoteli ya Mandalay BayHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionPolisi wakiwa nje ya hoteli ya Mandalay Bay
ShambulioHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Ni watu wangapi wameuawa?
Waliofariki wamefikia zaidi ya 58, kwa mujibu wa polisi.
Watu 515 wamepelekwa hospitalini wakiwa na majeraha.
Watu 14 wanaaminika kuwa katika hali mahututi, kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters.
Mauaji

RAIS TRUMP AMESEMAJE?

Katika kituo na wanahabari White House, Rais Donald Trump amesema mauaji hayo ni "kitendo cha uovu".
Amewapongeza pia polisi wa Las Vegas kwa kuzuia mauaji zaidi, akisema walichukua hatua upesi sana.
Awali, rais huyo aliandika kwenye Twitter kuhusu shambulio hilo.

Friday, August 18, 2017

NEW SONG:france Key -LADHA YA MAPENZI

Msanii france Key anakuja tena na ngoma kali,LADHA YA MAPENZI
ISIKILIZE NA KUIPAKUA HAPA

Friday, August 4, 2017

kuongezeka kwa Wezi wa nywele za wanawake kwazua wasiwasi India

Zaidi ya wanawake 50 katia majimbo yaliyo Kaskazini mwa India ya Haryana na Rajasthan wamesema kuwa wmekatwa nywele zao wakati wakiwa hawana fahamu. 

Polis wanajikakamua kutatua visa hivyo ambayo vinawaacha wanawake na mshutuko mkubwa. 

"Kulikuwa na mwanga mkali uliosababisha nipoteze fahamu. Saa moja baadaye niligundua kuwa nywele pia ikuwa imekatwa," alisema Sunita Devi, mwamamke mwenye umri wa miak 53 kutoka Haryana.

"Nemeshindwa kulala wala kufanya chochote. Nilisoma kuhusu visa hivi vikifanyika huko Rajasthan, lakini sikufikiria kingetendeka kwangu," aliongeza.
Munesh Devi standing front of a half-build house              Munesh Devi anasema kuna hofu katika jamii

Mbali kidogo mwanamke mwingine Asha Devi naee alipoteza nywele yake katika shambulizi kama hilo siku iliyofuata.
Lakini wakati huo mshambuliaji aliripotiwa kuwa mwanamke.
Baba mkwe wake Asha Devi, Suraj Pal anasema kuwa kufuaia kisa hicho, alimshauri pamoja na wanawake wengine wa familia kuhamia nyumba ya jamaa wao kati jimbo la Uttar Pradesh.
 
Indian Forensic experts examine Omvati            Mashambulizi hayo pia yamefanyika mjini Delhi

Bwana Pal anasema alikuwa nyumbani wakati Asha Devi alitoka nje kufanya kazi zake.
"Nilienda nje kujua ni kwa nini hakurudi baada ya zaid ya dakika 30. Tulipata amapoteza fahamu katika chumba cha kuoga. Nywele yake ilikuwa imekatwa na kutupwa sakafuni."alisema.

Ripoti za kunyolewa wanawake kwanza ziliibuka mapema Julai kutoka jimbo la Rajasthan, lakini visa sawa na hivyo kwa sasa vinaripotiwa kutoka Haryan na hata mji mkuu Delhi.
 
Sundar Devi in her house Sundar Devi, 60, amekuwa kitandani tangu ashambuliwe Jumamosi


Sunita Devi anaishi katika jamii ya wafanya biashara na wakulima.
Baadhi wa majirani zake wanachukua zamu kukaa naye hadi apate kuondokewa na mshutuko.
Anasema mshambuliaji wake alikuwa ni mwanamume mzee ambaye alikuwa amevaa nguo nyeupe.
 
An Indian girl places a photo of Hindu god Shiva on her hair for protection after various women got their braids chopped off allegedly by unknown person in Kanganheri village, the outskirts of Delhi, India, 01 August 2017                     Wanawake kutokaa sehemu za Delhi wamekuwa wakitumia picha na miungu ili kulinda nywele zoa


Saturday, July 15, 2017

Breaking News: Matokea Kidato cha 6 Mwaka 2017 Yametoka..... Bofya hapa kuyatazama

Baraza la Mitihani la taifa (Necta) leo limatangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita.

Bofya hapo chini Kuyatazama 

1. Matokeo ACSEE 


2. Matokeo Ualimu (DSSEE) 


3. Matokeo Ualimu ( GATSE)

Monday, June 26, 2017

rOCK D _tAWILE

 
BAADA YA MFUNGO WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN,wasanii kibao wanatoa ngoma mpya ili kuendelea kuwapa Ladha mashabiki zao ila si kila nyimbo itakuwa na viwango bora hivyo kuna zile chache ambazo zinakidhi vigezo na hii ni moja wapo TOKA kwa msanii wa zouk Bongo Rock D amekuja na hii Tawile ISKIZE NA IPAKUE BURE
https://my.notjustok.com/track/download/id/235737

Thursday, May 11, 2017

NEW VIDEO:SINA IMANI_ROCK D FT NANA JOE



Monday, May 8, 2017

NEW AUDIO:ROCK D FT NANA JOE_SINA IMAN

Msanii ROCK D anakuja tena na ngoma mpya kali(Audio ) Ipate hapa.
AUDIO


                                                                     

NEW SONG:FRANCY KEY FT MABRUCK__UMEONDOKA







https://my.notjustok.com/track/download/id/214864

Wednesday, March 29, 2017

NEW SONG:APPO MUSIC_I'M SORRY

Msanii anaiwakilisha Iringa ila kikazi yupo Dsm,anaitwa APPO MUSIC,na hapa kaja na bonge la ngoma linaitwa I'm sorry,ikifanyika studio za ram music kinondoni,producer ni Rambo Boy,Pakua na kuiskiliza hapa bure.


https://my.notjustok.com/track/download/id/199725